JIJI LA DODOMA KUFANYA UHAKIKI MADHUBUTI KATIKA KUHAMISHA WAFANYABIASHARA SABASABA ILI KILA MFANYABIASHARA ANAPATE STAHIKI YAKE.

Na.Faustine Galafoni,Dodoma, Mkurugenzi wa jiji la Dodoma Joseph Mafuru amesema katika zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo[Machinga]katika soko la Sabasaba ili kupisha ujenzi na ukarabati wa soko hilo lazima uhakiki madhubuti ufanyike ili kila mfanyabiashara apate haki yake . Mafuru amebainisha hay oleo April,20,2022 jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kutokana na baadhi ya